Sep 26, 2011

Bonde fc yaichapa Magomeni kids

Vijana wa Bonde fc wakipasha kabla ya mechi kuanza. vijana hawa wa Bonde fc waliibuka na ushindi mnono wa gili 2-0 dhidi ya Magomeni kids mechi ilichezwa katika uwanja wa magomeni barafu hapo jana tarehe 25/09/2011

No comments: