Mar 22, 2012

QPR YAICHAPA LIVERPOOL NA KUJIKWAMUA KUTOKA KUSHUKA DARAJA


  Team P W D L GD PTS
1
Man Utd 29 22 4 3 46 70
2
Man City 29 22 3 4 50 69
3
Arsenal 29 17 4 8 19 55
4
Tottenham 29 16 6 7 18 54
5
Chelsea 29 14 7 8 15 49
6
Newcastle 29 13 8 8 0 47
7
Liverpool 29 11 9 9 6 42
8
Swansea 29 10 9 10 0 39
9
Sunderland 29 10 7 12 3 37
10
Everton 29 10 7 12 -4 37
11
Stoke 29 10 7 12 -12 37
12
Fulham 29 9 9 11 -3 36
13
West Brom 29 10 6 13 -3 36
14
Norwich 29 9 9 11 -7 36
15
Aston Villa 28 7 12 9 -4 33
16
Blackburn 29 7 7 15 -18 28
17
QPR 29 6 7 16 -18 25
18
Bolton 28 7 2 19 -26 23
19
Wigan 29 4 10 15 -29 22
20
Wolves 29 5 7 17 -33 22

QPR 3 Liverpool 2 YALEEE YALEEEEEEEEEEE TENA

SUPERSUB ... Jamie Mackie celebrates his winner
SUPERSUB ... Jamie Mackie celebrates his winner
Last Updated: 22nd March 2012

The James Bond star watched in disbelief as his beloved Reds threw away a two-goal lead.
Liverpool looked home and dry after goals from Sebastian Coates and Dirk Kuyt saw them lead 2-0 with just 13 minutes remaining.
But sub Jamie Mackie's injury-time winner completed a remarkable comeback that epitomised the Kop's Prem season and will give the Hoops hope for the rest of theirs.
Victory lifted the R's out of the bottom three on a night that will long be remembered in west London.
While Liverpool were left, once again, to rue a stack of missed chances.
You have to say, it is a good job that Kenny Dalglish is the manager. Were it any other boss in charge the red half of Merseyside would be calling for his head this morning.

SUPPORT ... Liverpool players wear t-shirts to send their best wishes to Fabrice Muamba
SUPPORT ... Liverpool players wear t-shirts to send their best wishes to Fabrice Muamba
This was not the first time Liverpool had chucked away a lead this season. In fact, they have almost been famous for it at Anfield in recent months.
There was no sign of it with a quarter of an hour to go as Liverpool looked comfortable at 2-0. But then Shaun Derry pulled one back with a 77th-minute header and the Reds' wheels started to come off.

SWEET 'N SUAR ... Luis Suarez beats Nedum Onuoha but has his shot saved
SWEET 'N SUAR ... Luis Suarez beats Nedum Onuoha but has his shot saved
Then with just four minutes left former Kop striker Djibril Cisse headed in Taye Taiwo's header to make it 2-2.
It was a sweet moment for Cisse, who claimed this week he still does not know the reason the club bombed him out in 2006.

STUNNER ... Sebastian Coates hits a screamer for Liverpool
STUNNER ... Sebastian Coates hits a screamer for Liverpool
A draw would have been bad enough for the visitors. But worse to follow as deep into added on time, the unthinkable happened as Mackie sprung the offside trap before steering his shot past Pepe Reina to send Loftus Road into ecstasy.
It completely validated his manager Mark Hughes' decision to send him on in place of ineffective skipper Joey Barton in the 62nd minute.

DOUBLE TROUBLE ... Dirk Kuyt celebrates after scoring Liverpool's secon
DOUBLE TROUBLE ... Dirk Kuyt celebrates after scoring Liverpool's second
Barton left the pitch to the jeers of his own fans ringing in his ears. It will be interesting to read what he has to say about it on Twitter this morning.
Liverpool were making their first return to the capital since their Carling Cup success over Cardiff at Wembley last month.

SHAUN FROM THE DEAD ... Shaun Derry heads in the first goal of a stunning QPR comeback
SHAUN FROM THE DEAD ... Shaun Derry heads in the first goal of a stunning QPR comeback
And the visitors got off to a flyer, forcing TEN corners in the opening 18 minutes.
Luis Suarez looked most likely to break the deadlock but it was another Uruguayan — Coates — who netted with the kind of spectacular volley QPR boss Hughes was renowned for in his heyday.

OLD BOY ... Djibril Cisse scores QPR's equaliser against his old side
OLD BOY ... Djibril Cisse scores QPR's equaliser against his old side
The points looked set for Merseyside when Kuyt tapped in on 72 minutes.
It seemed nothing could stop the Kop but once again they managed to snatch defeat from the jaws of victory.
And as for their showbiz fan Craig — there was not even a Quantum of Solace.

MACK ATTACK ... Jamie Mackie stuns Liverpool with a stoppage-time winner
MACK ATTACK ... Jamie Mackie stuns Liverpool with a stoppage-time winner
DREAM TEAM
STAR MAN - SHAUN DERRY (QPR)
QPR: Kenny 8, Young 6, Onuoha 6, Ferdinand 6, Traore 6 (Taiwo 7), Barton 5 (Mackie 5), Derry 8, Diakite 6, Taarabt 6, Zamora 6, Cisse 7 (Buzsaky 5). Subs not used: Cerny, Gabbidon, Bothroyd, Wright-Phillips.
Liverpool: Reina 7, Kelly 5 (Coates 7), Carragher 6, Skrtel 6, Enrique 7, Kuyt 7, Spearing 7, Adam 6 (Henderson 6), Downing 5, Gerrard 7, Suarez 8 (Carroll 5). Subs not used: Doni, Aurelio, Shelvey, Flanagan.

TEVEZ AREJEA MAN CITY YAIUA CHELSEA 2-1

Man City 2 Chelsea 1

VERY NAS ... Samir Nasri celebrates his dramatic winner
VERY NAS ... Samir Nasri celebrates his dramatic winner
Published: 21st March 2012

AMAZING what can be achieved when you agree to do a bit of warming up and get on with the job you are paid for.

Carlos Tevez returned from six months in exile since his Munich bust-up with manager Roberto Mancini and produced the pass which put the spark back into Manchester City's title bid.
Mancini's men were a goal behind to Gary Cahill's deflected shot when Tevez was summoned from the bench by the boss with 66 minutes gone — and this time round the Argy was bang up for it.
After his mate Sergio Aguero equalised from the penalty spot, Tevez played a sublime one-two with Samir Nasri with five minutes left and the Frenchman clipped the dramatic winner into the corner.
It marked a record-breaking 20th home Premier League win in a row for City — and the fans in the Etihad Stadium went mad.

LOOK WHO'S BACK ... Carlos Tevez shares a joke on the Man City bench
LOOK WHO'S BACK ... Carlos Tevez shares a joke on the Man City bench

They believe once more that they can triumph in this title race as they closed the gap on rivals Manchester United to a single point.
City deserved victory on the balance of play but, until Tevez came on, there was concern that their bid to overhaul United was coming to a grinding halt.
Whatever you think of the barrel-chested striker — and there are plenty of opinions — it is undeniable that he is an extremely gifted footballer.
And when Tevez does actually make it on to the field of play, his work-rate is rarely questioned.
Nobody expected to see Tevez in a City shirt again but now he is, he could be the missing piece in the jigsaw.

WELCOME BACK ... Tevez had a mixed reception from fans with some supporting and some booing
WELCOME BACK ... Tevez had a mixed reception from fans with some supporting and some booing
 
Last night, his touch of guile was sorely needed with Aguero getting little change out of Cahill and David Luiz, while Italian hitman Mario Balotelli was so out of sorts he was subbed at half-time.
Mancini had come out defiantly pre-match to claim that his side would win the title and needed a victory to support his brave boast.
To that end, ever the pragmatist, he welcomed back Tevez.

BREAKTHROUGH ... Gary Cahill's deflected effort gives Chelsea the lead
BREAKTHROUGH ... Gary Cahill's deflected effort gives Chelsea the lead

There was muted applause for the Argentina ace as he practised before kick-off but none of the fans will be complaining if Tevez helps win them the title.
And with Nasri playing possibly his best game since his £24million summer arrival from Arsenal, City were unlucky not to take the lead on eight minutes.
Yaya Toure played a raking 40-yard through ball and Nasri expertly chested down and chipped over Petr Cech. The crowd were celebrating as it headed towards goal but there were groans when it struck the bar and bounced away.
Nasri again tried a long-range drive which was just over the bar — and when the Blues' skipper for the night Frank Lampard gave the ball away, it seemed Balotelli must go on and score.
But the striker was having one of those nights and, though Cech saved his shot, it was never going in anyway.

SPECIAL CAHILL ... Chelsea goal-scorer Cahill wheels away in celebration
SPECIAL CAHILL ... Chelsea goal-scorer Cahill wheels away in celebration
 
Mancini made no apology for hauling the sulky frontman off and replacing him with Gareth Barry arguing, quite simply, afterwards that his fellow Italian was not any good.
Chelsea had enjoyed a resurgence under caretaker-boss Roberto Di Matteo, winning four games in a row since he took over from the axed Andre Villas-Boas.
It was a big week for the West Londoners, with a home game against Spurs to follow and the trip to Lisbon next Tuesday for the first leg of the Champions League quarter-final against Benfica.
But they were digging in to keep the scores level and Nasri again caused problems when his cross-cum-shot was tipped on to the bar by Cech. From there, the ball was turned back in and David Silva's effort was deflected just wide.
From the corner, Aguero's acrobatic volley flew over.

KNEESY DOES IT ... City boss Roberto Mancini on the sidelines
KNEESY DOES IT ... City boss Roberto Mancini on the sidelines
 
Di Matteo decided he needed more steel in midfield and replaced Raul Meireles with Michael Essien.
Within a minute, Chelsea were ahead against the run of play as Barry lost out in a tangle with David Luiz and Cahill's shot was deflected past Joe Hart by the unfortunate Yaya Toure.
That meant it was time for Tevez — and he came on in place of Nigel De Jong to more cheers than boos.
City fans might not like what he has done but they are a forgiving bunch.
For Chelsea, Didier Drogba replaced Fernando Torres, who had battled hard up front without reward.

POWER SERGE ... Sergio Aguero fires home from the penalty spot
POWER SERGE ... Sergio Aguero fires home from the penalty spot

The former Liverpool man retained his place after his double against Leicester in the FA Cup broke a goal drought which had lasted longer than 24 hours of pitch time.
However, you still had to go back to September for his last goal in the Premier League and he was far from happy at being hooked.
It needed a consoling word from Di Matteo to stop him throwing his toys out of the pram.
City looked shattered and without the same purpose they had shown in the first half.
But they got a lifeline when Pablo Zabaleta crashed in a drive which would have gone high into the stands had Essien not blocked it with a raised arm. It happened at close range and, though Di Matteo claimed it was harsh, credit to him for conceding it probably was a penalty.

DRAMA ... Samir Nasri celebrates his late winner
DRAMA ... Samir Nasri celebrates his late winner
Aguero tucked away the spot-kick with 12 minutes left and it was game on again for City.
When Nasri collected he knew exactly what to do. The Frenchman played it in to the feet of Tevez, continued his run and took the return pass from which he gleefully converted.
Last term, Tevez lifted City's first silverware in 35 years as his team claimed the FA Cup.
What a twist it would be if he is parading the Premier League trophy at the Etihad on May 13.
 
DREAM TEAM
 
STAR MAN - SAMIR NASRI (Man City)
 
Man City: Hart 6, Zabaleta 6, Richards 7, K Toure 6, Clichy 6, Silva 5 (Dzeko 6), Y Toure 7, De Jong 6 (Tevez 7), Nasri 8, Aguero 6, Balotelli 5 (Barry 6). Subs not used: Pantilimon, Milner, Kolarov, Savic. Booked: Nasri.
 
Chelsea: Cech 6, Ivanovic 5 (Bosingwa 6), Luiz 7, Cahill 7, Cole 6, Mikel 6, Meireles 5 (Essien 6), Ramires 6, Lampard 6, Mata 6, Torres 6 (Drogba 6). Subs not used: Turnbull, Malouda, Kalou, Sturridge. Booked: Mata, Lampard.

Mar 7, 2012

Michael Wambura Afungiwa milele kuongoza soka la Bongo.


ELECTIONS COMMITTEE

                       TAARIFA KWA VYOMBO YA HABARI
06 MACHI 2012


UFAFANUZI KUHUSU MAJUKUMU, WAJIBU NA MAMLAKA YA KAMATI YA UCHAGUZI NA
 MAELEZO YA KINA KUHUSU MAAMUZI YA KAMATI ZA UCHAGUZI ZA TFF KUHUSU MAOMBI
YA NDG. MICHAEL RICHARD WAMBURA KUGOMBEA UONGOZI KWENYE UCHAGUZI WA
TFF 2008, UCHAGUZI WA KLABU YA SIMBA 2010 NA FAM 2011.


1.                   USIMAMIZI WA CHAGUZI ZA WANACHAMA WA TFF

            Muundo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umeelezwa wazi kwenye Katiba ya TFF Ibara ya 18. Kamati ya Uchaguzi ya TFF ni moja kati ya vyombo sita vilivyoainishwa katika Muundo wa TFF. Majukumu, wajibu na mamlaka ya vyombo vya TFF yameainishwa katika Katiba ya TFF na Kanuni zilizotungwa na kuidhinishwa na Kamati ya Utendaji ya TFF kwa kuzingatia Ibara ya 34 ya Katiba hiyo.

            Majukumu, wajibu na mamlaka ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF yameainishwa kwenye Katiba ya TFF Ibara ya 49 na kwenye Kanuni za Uchaguzi za TFF na Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF. Mbali na majukumu na wajibu wa kusimamia uchaguzi wa TFF na chaguzi za wanachama wake na kuishauri Kamati ya Utendaji ya TFF kuhusu Kanuni za Uchaguzi, Kamati ya Uchaguzi ya TFF inao wajibu wa kulinda Katiba na Kanuni za uchaguzi za TFF na Katiba ya FIFA na Katiba za wanachama wa TFF kama ilivyotamkwa kwenye Kanuni za Uchaguzi za TFF Ibara ya 6 na Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF Ibara ya 26. Uchaguzi Mkuu wa TFF hufanyika kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa TFF. Chaguzi za wanachama wa TFF na wanachama wao hufanyika kwa mujibu wa Kanuni za uchaguzi za wanachama wa TFF na si vinginevyo. Kanuni hizi zimeainisha taratibu mbalimbali ambazo lazima zizingatiwe kikamilifu, ikiwa ni pamoja na utaratibu wa ukataji rufaa katika ngazi mbalimbali za uchaguzi. Vyombo na Kamati zote za  TFF, Wanachama wote wa TFF na wanachama wao, na wadau wote wa soka wanao wajibu wa kuheshimu Kanuni mbali mbali za TFF ambazo ni pamoja na Kanuni za Uchaguzi.

2.                   MAAMUZI KUHUSU MAOMBI YA UONGOZI YA NDG. MICHAEL WAMBURA

Kwa muda mrefu pamekuwepo na taarifa mbalimbali kupitia vyombo vya habari zenye lengo la kuwafanya wadau na wapenzi wa soka na umma wa watanzania kwa ujumla kuaminishwa kuwa Ndg. Michael Wambura huonewa na vyombo vya TFF vinavyosimamia uchaguzi kila anapoomba nafasi za uongozi katika TFF. Baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya wapenzi wa soka wamesikika wakisema kwamba kuenguliwa kwa Ndg. Michael Wambura kugombea uomgozi ni kutokana na kuogopwa na viongozi wa TFF. Kamati ya Uchaguzi ya TFF inapenda kufafanua kwa kina maamuzi yote yaliyofanyika kuhusu maombi yote ya uongozi ya Ndg. Michael Wambura na kuweka wazi vielelezo vilivyotumika kufikia maamuzi hayo ili umma wa watanzania wafahamu kinagaubaga ukweli kuhusu maamuzi hayo:

            UCHAGUZI MKUU WA TFF 2008

            Kamati ya Uchaguzi ya TFF ilimwengua Ndg. Michael Wambura kugombea nafasi ya Makamu wa kwanza wa Rais wa TFF kwa kutokidhi matakwa ya uadilifu kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi na Katiba ya TFF. Ndg. Michael Wambura hakuridhika na uamuzi huo na alikata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF. Hata hivyo baada ya Kamati ya Rufaa kupitia nyaraka mbali mbali zilizowasilishwa kwenye Kamati hiyo ikiwa ni pamoja na ripoti ya ukaguzi wa maheabu ya TFF/FAT kwa mwaka 2002, 2003 na 2004 rufaa yake ilishindwa baada ya Kamati ya Rufaa kuridhika na kuweka bayana kuwa mwomba rufaa, Michael Richard Wambura aliipa Zabuni kampuni yake iitwayo Min Investments & Commercial Services Co. wakati akiwa Katibu Mkuu wa FAT/TFF na hivyo kushindwa kukudhi kigezo cha uadilifu. Katika kufikia maamuzi yake, Kamati ya rufaa pia ilibaini kuwa Ndg. Michael Richard Wambura alionyesha kuwa alikuwa amechana na umiliki wa kampuni hiyo kuanzia tarehe 12 Novemba 2003 kwa mabadiliko yaliyotekelezwa tarehe 28 Februari 2007 kwa malipo ya Shs. 34,500/= ya “exchequer receipt No. 28173444’. Hata hivyo, Kamati ya Rufaa iliridhika kuwa utekelezaji wa mabadiliko ya umiliki wa kampuni hiyo ulichukua takribani miezi arobaini (40). Baada ya majadiliano ambayo yalikuwa yamekitwa (pegged) kwenye uadilifu (integrity), Kamati ya Rufaa iliridhika kuwa taswira inayojitokeza kwenye muktadha imegubikwa na wingu jeusi la mashaka kuhusu “integrity” ya Muomba Rufaa (Ndg. Michael Richard Wambura).

            Uthibitisho kwamba mmilki wa Kampuni ya Min Investments & Commercial Services Co ni Ndg. Michael Richard Wambura ulitolewa na Msajili wa Makampuni (Business Registration and Licensing Agency-BRELA) kwa barua yenye Kumbukumbu Na. MITM/RBN/93017 ya tarehe 16 Agosti 2006. Kampuni hiyo ilisajiliwa tarehe 17 Julai 1992.

            Kamati ya Uchaguzi ya TFF inatoa sehemu ndogo tu ya ubadhirifu uliokuwa unafanywa kwa kutumia Kampuni hiyo (Min Investments & Commercial Services Co) ya Michael Wambura kinyume na utaratibu wa utoaji tenda wa FAT/TFF na malipo aliyojilipa bila maelezo yoyote kama ilivyoainishwa kwenye Ripoti ya Ukaguzi wa Mahesabu iliyowasilishwa na wakaguzi tarehe 19 Septemba 2005 na Ripoti maalumu ya ukaguzi iliyowasilishwa Novemba 2006, kama ifuatavyo:

(i)       Tarehe 28 Julai 2004 Michael Wambura akiwa Katibu Mkuu wa TFF alilipwa Dola za Kimarekani 16,548.00 (US$ 16,548 sawa na Tshs. 17,170,040 wakati huo) kwa ununuzi wa samani (furniture) za Hosteli ya TFF. Pesa hizo zilizoombwa kulipwa kwa Michael Wambura zimeonyeshwa kwenye fomu ya malipo ya TFF ya tarehe 28 Julai 2004. Pesa hizo zilipokelewa na Kampuni ya Min Investments & Commercial Services Co na kuthibitisha kupokelewa na kampuni hiyo kwa risiti Na. 020 ya tarehe 21 Julai 2004 ya kampuni hiyo, ingawa hapakuwa na maombi ya manunuzi (order) iliyokuwa imefanywa na TFF kwa kampuni hiyo. 

(ii)     Baada ya kujilipa pesa zilizotajwa hapo juu, kesho yake tarehe 29 Julai 2004 Ndg. Michael Wambura akiwa Katibu Mkuu wa TFF alijilipa Dola za kimarekani 25,000.00 (US$ 25,000.00 sawa na Tshs. 25,937,500 wakati huo), kama ilivyoonyeshwa kwenye vocha ya malipo ya TFF Na. 5324 ya tarehe tajwa hapo juu, ikionyesha kuwa ni kwa ajili ya malipo ya samani za Hosteli (US$ 15,000.00) na malipo ya awali ya Gari (US$ 10,000.00). Ndg. Michael Wambura alithibitisha kupokea malipo hayo. Ripoti ya Ukaguzi inabainisha wazi kuwa vifaa vichache vilivyonuliwa kwa hosteli ya TFF thamani yake haikuainishwa na hapakuwa na gari lililolipiwa malipo ya awali katika vitabu vya mahesabu ya TFF.

(iii)    Katika kipindi cha mwaka 2002 Ndg. Michael Wambura akiwa Katibu Mkuu wa FAT alijikopesha jumla ya Tshs. 36,850,750 bila idhini ya Kamati ya Utendaji.

(iv)    Tarehe 20 Mei 2002 Ndg. Michael Wambura akiwa Katibu Mkuu wa FAT alijilipa Tshs. 12,147,837 ambazo hazina maelezo yoyote.

(v)     Imebainishwa wazi kuwa FAT/TFF ilikuwa mfilisi katika kipindi cha 2002-2004 (Nukuu: “The Association was actually insolvent during the period.”)

            Kamati inaweka wazi tena kwamba maamuzi yaliyofikiwa na Kamati ya Rufaa ya kumuengua Michael Wambura kwenye uchaguzi Mkuu wa TFF yanaweza tu kubadilishwa na Mahakama ya usuluhishi wa masuala ya michezo (CAS) endapo Michael Wambura atakata rufaa CAS kupinga maamuzi hayo na kushinda rufaa, na si vinginevyo.

            MAAMUZI YA MKUTANO MKUU WA TFF 2007

            Mkutano Mkuu wa TFF ambacho ndicho chombo cha juu kabisa cha TFF (Supreme Authority of TFF) katika kikao chake mwaka 2007 kilipitia ripoti za ukaguzi wa mahesabu ya FAT/TFF kwa kipindi cha mwaka 2002 hadi 2004 na baada ya kujiridhisha kuhusu ubadhirifu uliofanywa na Ndg. Michael Wambura, Mkutano Muu wa TFF uliamua kwamba Ndg. Michael Wambura afikishwe kwenye vyombo vya dola kwa ubadhirifu wa fedha za FAT/TFF alioufanya kama ilivyoainishwa kwenye ripoti za ukaguzi wa Mahesabu. Sekretarieti ya TFF mwaka 2007 ikitekeleza maagizo ya Mkutano Mkuu wa TFF na suala hilo lilpelekwa Jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi ilithibitisha maombi ya TFF kwa barua  yake ya tarehe 18 Januari 2008 na kumfungulia jalada  Ndg Michael Wambura kwa kosa la wizi  akiwa Mtumishi. Kamati ya Uchaguzi ya TFF inaheshimu maamuzi ya Mkutano Mkuu wa TFF na hadi sasa haijataarifiwa kwa maandishi na chombo chochote kama suala hilo limefikia ukomo wa aina yoyote.

            UCHAGUZI WA KLABU YA SIMBA MWAKA  2010

            Ndg. Michael Richard Wambura aliomba kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba. Hata hivyo alikatiwa rufaa na Ndg. Daniel T. Kamna  kwa kutotimiza matakwa ya Ibara ya 9 ya Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF kama ilivyoamuliwa na Kamati ya Uchaguzi ya TFF na pia Kamati ya Rufaa ya TFF mwaka 2008 wakati alipoomba kugombea nafasi ya Makamu wa kwanza wa Rais wa TFF. Kamati ilikubaliana na maamuzi yaliyotolewa na Kamati ya Uchaguzi na Kamati ya Rufaa ya TFF mwaka 2008 kwamba Bw. Michael R. Wambura  si mwadilifu  kama ilivyonyeshwa kwenye aya ya 2.1 na 2.2 hapo juu na hivyo hakukidhi matakwa ya Ibara ya 29(7) ya Katiba ya TFF na Ibara ya 9 ya Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF.  Kamati ilimuondoa kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Simba SC.

            Baada ya maamuzi hayo ya Kamati, Ndg. Michael Richard Wambura alikwenda Mahakamani na akafungua kesi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam dhidi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba kuzuia uchaguzi wa klabu ya Simba usifanyike. Kwa kufanya hivyo alivunja Katiba ya Klabu ya Simba na kukiuka Katiba ya TFF Ibara ya 12(2) (e) na Katiba ya FIFA Ibara ya 64(2). Klabu ya Simba ilichukua hatua za kikatiba, na katika kikao chake cha 5/5/2010, ilimsimamisha uanachama Ndg. Wambura kwa kukiuka katiba ya klabu hiyo. Klabu ya Simba iliitaarifu TFF uamuzi huo kwa barua yenye Kumbukumbu Na. SSC/MMKT/162/Vol.40/10 ya tarehe 06 Mei 2010 iliyoambatanishwa na Muhtasari wa kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanya uamuzi huo. Uamuzi wa kumrudishia uanachama unafanywa na Mkutano Mkuu wa Klabu ya Simba. TFF haijapokea taarifa yoyote kutoka Klabu ya Simba kwamba Mkutano Mkuu wa Klabu hiyo ulikwisha msamehe. Kwa hali hiyo taarifa ya kusimamishwa kwake iliyotumwa TFF mwezi Mei 2010 itaendelea kuzingatiwa hadi hapo Klabu ya Simba itakapo ijulisha TFF mabadiliko ya maamuzi hayo.

3.                   MAAMUZI KUHUSU UCHAGUZI WA FAM

            Kamati ya Uchaguzi ya TFF ilimuondoa Ndg. Michael Wambura kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa FAM kwa kuwa alifungua kesi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam dhidi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba akiwa ni mwanachama wa Klabu ya Simba kuzuia uchaguzi wa klabu ya Simba usifanyike, jambo ambalo ni uvunjaji wa Katiba ya Klabu ya Simba, ukiukwaji wa Katiba ya FAM, TFF na FIFA.

            Pia, Kamati ya Uchaguzi ya TFF iliweka wazi kama ilivyobainisha kwenye uchaguzi wa Klabu ya Simba kwamba suala la uadilifu wa Ndg. Wambura lilishafanyiwa maamuzi na Kamati ya Rufaa ya TFF mwaka 2008 kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi Mkuu wa TFF. Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi huo na Katiba ya TFF Mamlaka pekee inayoweza kutengua uamuzi huo ni Mahakama ya Usuluhishi wa masuala ya Michezo (CAS) iliyo na makao yake Lausanne, Switzerland.

            Baada ya uamuzi huo, Kamati ya Uchaguzi ya TFF imeshuhudia baadhi ya vyombo vya TFF vikishughulikia masuala ya uchaguzi kinyume na matakwa ya Katiba ya TFF na Kanuni za Uchaguzi, kama ifuatavyo:

(i)       Katika hali isiyozingatia Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF, Kamati ya Nidhamu ilipokea malalamiko ya Ndg. Michael Wambura yaliyoitwa ‘rufaa’. Kwa kuwa hakuna utaratibu wa masuala ya uchaguzi kukatiwa rufaa kwenye Kamati za nidhamu katika ngazi zote za uchaguzi na hivyo pia kutokuwepo ada ya ‘rufaa’ za aina hiyo, mlalamikaji alilazimisha kupokelewa ada ya Tshs 300,000/= ambayo ni ada inayotumika kwa rufaa za Ligi Kuu ya Vodacom ambayo imeainishwa katika Ibara ya 17 ya kanuni za mashindano hayo. Ada hiyo iliwekwa (deposited) kwenye Akaunti ya TFF bila ridhaa ya TFF. Pamoja na mapungufu hayo “rufaa’ hiyo ilisikilizwa na Kamati ya Nidhamu na kutolewa maamuzi. Mlalamikaji hakuridhika na maamuzi ya Kamati hiyo na aliamua kukata ‘rufaa’ katika Kamati ya Rufaa ya TFF.

(ii)     Kamati ya Rufaa ya TFF ilipokea na kusikiliza ‘rufaa’ ya Ndg. Michael Richard Wambura, kinyume na matakwa ya Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF. Kwa kuwa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF hakuna rufaa inayokatwa kwenye Kamati hiyo, hivyo kutokuwapo ada yoyote kwa “rufaa” ya aina hiyo, ili kutimiza azma ya kusikiliza ‘rufaa’ hiyo, palifanyika juhudi za kulazimisha kupokelewa ‘ada’ ya Shilingi 500,000/= ambayo ni ada ya rufaa za mashindano ya Ligi Kuu ya Vodacom ambayo imeainishwa pia katika Ibara ya 17 ya kanuni za mashindano ya Ligi Kuu ya Vodacom. Hata hivyo, ada hiyo ambayo si halali, haikupokelwa na Sekretarieti ya TFF  baada ya kushindikana kuainisha ada ya mashindano ya Ligi Kuu ya Vodacom na masuala ya Uchaguzi.  Bila kuzingatia Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF na Katiba ya TFF Ibara ya 47(4) inayotamka na kuikataza Kamati ya Rufaa  kusikiliza rufaa kwa mambo yaliyowekewa ukomo na Kanuni husika; Ibara hiyo inatamka; ‘The Appeal Committee shall be responsible for hearing appeals against decisions from the Disciplinary Committee that are not declared final by relevant regulations as well as decision passed by the players’ Status Committee concerning the eligibility of players for the teams’, Kamati hiyo ilisikiliza malalamiko ya Ndg. Michael Richard Wambura na kutoa uamuzi bila kuzingatia Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF ambazo ni ‘relevant regulations’ na Ibara ya 12(4) ya Kanuni hizo kutamka wazi kuwa;  ‘The decisions of the TFF Elections Committee are final and conclusive and shall not be monitored by any other body’.



(iii)    Kamati ya Uchaguzi ya TFF inatamuka wazi kuwa utaratibu mzima uliotumika kupokea rufaa hiyo toka Kamati ya Nidhamu hadi ya Kamati ya Rufaa haukufanyika kwa mujibu wa taratibu za ukataji rufaa zilizoainishwa kwenye Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF.  Ukataji rufaa huo uliongozwa zaidi na hila kuliko dhamira ya kuheshimu taratibu zilizowekwa. Mbali na kutumia kanuni za Ligi kuu ya Vodacom kusikiliza ‘rufaa’ hizo, uthibitisho mwingine wa hila na ujanjaujanja ni pale mlalamikaji alipokwenda kuweka kwenye akaunti ya TFF ada ya rufaa ya mashindano ya Ligi Kuu ambayo haitambuliki kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi na kutumia vyombo vya habari kutangaza kitendo hicho, lakini baada ya kutolewa maamuzi na Kamati ya Rufaa alienda kimya kimya TFF kuchukua ada hiyo ambayo ni ya rufaa kwa mashindano ya Ligi kuu.

(iv)    Kamati ya Uchaguzi ya TFF, kwa mamlaka yaliyo kasimiwa kwake na Katiba ya TFF Ibara ya 49(1) , Kanuni za Uchaguzi za TFF Ibara ya 6, Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF Ibara ya 8(2), 10(6), 12(4) na 26(2), na pia kwa mamlaka yaliyoainishwa katika Katiba za wanachama wa TFF kuhusu uchaguzi, katika kikao chake kilichofanyika 03 Desemba 2011 iliamua na inatamka wazi kuwa maamuzi yaliyofanywa na Kamati ya Rufaa ni BATILI kwa kuwa hayakuzingatia Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF. Kamati ya Uchaguzi ya TFF inaziagiza Kamati zote za Uchaguzi za wanachama wa TFF na wanachama wao kuendelea kuzingatia Kanuni za Uchaguzi katika utendaji wa kazi zao za kuendesha na kusimamia chaguzi zote za vyama vya mpira wa miguu nchini, ikiwa ni pamoja na kutozingatia maamuzi yoyote ya uchaguzi yatakayofanyika kinyume na Kanuni za Uchaguzi.


4.                   TAARIFA ZA UDANGANYIFU KUTOKA KWA BAADHI YA WAGOMBEA UONGOZI KWENYE VYAMA WANACHAMA WA TFF.

            Kamati ya Uchaguzi inapenda kuwakumbusha wadau wote wa soka wenye nia ya kugombea uongozi TFF na vyama wanachama wa TFF kuwa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 25(8) na Kanuni za Uchaguzi za wanachama wa TFF Ibara ya 26(8)  ni makosa kuwasilisha taarifa za udanganyifu kwenye Kamati ya Uchaguzi. Kanuni hizo zinatamka kuwa; During the election process any person or member who contravenes this code or provides false particulars or qualification, may be penalized to a fine not exceeding five hundred thousand shillings or be barred to participate in the election process for 2 years or for both a fine and such barring, provided that the General Secretary lodges a complaint to the TFF judicial organ for disciplinary action.

            Kamati imebaini kuwa baadhi ya wagombea walifanya udanganyifu kuhusu vyeti halisi walivyowasilisha kwenye uchaguzi wa FAM na pia baadhi ya waombaji uongozi katika uchaguzi wa klabu ya Villa. Kwa mfano mwombaji aliyeomba kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Villa cheti chake cha Elimu ya Msingi alichowasilisha kwenye Kamati ya Uchaguzi kina utata. Vyote hivyo viko katika hatua za uhakiki kwenye mamlaka husika, uhakiki utakapokamilika Kamati itachukua hatua kwa mujibu wa Kanuni tajwa hapo juu.

            Kamati imebaini na kujiridhisha kuwa Ndg. Michael Wambura alitoa taarifa zinazokinzana kwenye Kamati ya Uchaguzi kuhusu umri wake. Katika Uchaguzi wa Klabu ya Simba mwaka 2010, aliwasilisha taarifa kwamba amezaliwa mwaka 1967 lakini katika uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Mara aliwasilisha taarifa kwamba alizaliwa mwaka 1965. Taarifa za umri zinazokinzana za mwombaji uongozi zinashiria mashaka ya umakini na uadilifu wa mgombea hasa ikizingatiwa kuwa nafasi ya uongozi ya mwenyekiti kwa vyama wanachama wa TFF na  Rais wa TFF zina ukomo wa wa umri. Kamati itachukua hatua zilizoainishwa kwenye Kanuni za Uchaguzi tajwa hapo juu.






5.                   KAULI ZENYE LENGO LA KUVURUGA CHAGUZI ZA WANACHAMA WA TFF.

            Katika siku za karibuni Kamati ya Uchaguzi ya TFF imeshuhudia kauli amabazo si za kiwanamichezo zenye lengo la kuleta vurugu katika michakato ya Uchaguzi. Kwa mfano kauli za kuwahamasisha wadau wa soka kwenda mahakamani kwa masuala ya michezo, hususan, kupinga michakato ya uchaguzi ni uvunjaji wa Kanuni za Uchaguzi na Katiba ya TFF na FIFA. Kamati inawataka wadau wote wa soka kuheshimu na kuzingatia Kanuni na taratibu za uchaguzi na Katiba ya TFF, vinginevyo Kamati haitasita kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi.





Deogratias J. Lyatto
MWENYEKITI
KAMATI YA UCHAGUZI
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA
chanzo na Shaffi Dauda

Chuji: Nilifanya makusudi kumchapa kiatu



Beki wa sasa wa Yanga Athuman Idd Chuji akikabiliana na Musa Hassan Mgosi mwaka juzi
MICHAEL MOMBURI, CAIRO
KIUNGO wa Yanga, Athuman Idd 'chuji' amesema hakuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kumchapa kiatu straika wa Zamalek, Razak Omotoyossi na kuonyeshwa kadi nyekundu.

Chuji alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 63 baada ya kumkwatua Omotoyossi, kitendo ambacho Kocha Kosta Papic alikilalamikia baadaye kwa madai kuwa kiliharibu mfumo wake wa uchezaji.

"Hakukuwa na jinsi nyingine zaidi ya kufanya nilivyofanya, bora nilivyofanya kuliko ningeacha tukafungwa goli la pili, yule jamaa alikuwa anakwenda kufunga goli kabisa," alisema Chuji, ambaye alicheza katikati kwenye ulinzi na Nadir Haroub `Cannavaro'.

"Lakini ukiangalia aina ya mchezo, yaani hii mechi ya hapa Misri ilikuwa nyepesi kuliko ile ya Dar es Salaam, haikuwa bahati yetu tu," alisema mchezaji huyo wa zamani wa Polisi Dodoma na Simba.

Yanga ilitolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wikiendi iliyopita kwa jumla ya mabao 2-1 na Zamalek ya Cairo. Katika mchezo wa kwanza ilitoka sare ya bao 1-1 jijini Dar es Salaam kabla ya kufungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Jeshi la Misri, Jumamosi iliyopita.

Viongozi wa Yanga wamekuwa wakilalamikia uchezeshaji mbovu, huku baadhi ya wachezaji wakisema mabadiliko ya kumtoa Jerry Tegete na kumuingia Chacha Marwa hayakuwa na manufaa.


Samata afunika Mazembe






Mwandishi wetu

KLABU ya TP Mazembe ya DR Congo imetumia mwezi Februari kufanya utafiti kwa wachezaji wake walioitumikia klabu hiyo mwezi huo, huku Mbwana Samatta akiibuka kinara wa kupachika mabao kwa timu hiyo.

Katika utafiti huo uliofanywa na klabu ya TP Mazembe, takwimu zinaonyesha mshambuliaji Mbwana Samatta ameongoza katika kufumania nyavu, ambapo kati ya mabao 15 yaliyofungwa Samata amefunga matano.

Samata amewashinda Luka Lungu aliyefunga manne, Yannick Tusilu amefunga mawili, Treasury Mputu amefunga mawili, Guy Lusadisu amefunga moja na Eric Kanteng amefunga moja pia.

Kwa mujibu wa utafiti huo wa mwezi Februari wa TP Mazembe walitumia wachezaji 31 katika mechi tano, ambapo Samatta, Patrick Ilongo, Joel Kimwaki na Robert Kidiaba waliongoza kwa ubora baada ya kufanya vizuri katika mechi nne kati ya tano walizocheza. Wakati Treasury Mputu akifanya vyema katika mechi 3 kati ya 5, huku Thomas Ulimwengu akitumika kama mchezaji wa akiba.

Katika suala la kutoa pasi za mwisho za ushindi, mchezaji Treasury Mputu aliongoza kwa kutoa pasi sita akifuatiwa na Patrick Ochan pasi mbili, Eric Nkulukuta , Herve Ndonga, Samatta, Serge Lofo, Eric Bokanga, Thomas Ulimwengu na Treasury Salakiaku wote wamepiga pasi moja za mwisho za ushindi.

Kwa jumla, Samatta na Treasury Mputu ndiyo waliofanya vizuri katika takwimu za TP Mazembe, ambapo Samatta aliibuka katika ufungaji na Mputu katika utoaji wa pasi za mwisho za ushindi.             


chanzo na aboodmsuni na soka la bongo

Yanga yaizidi Simba mapato Taifa


Yanga yaizidi Simba mapato Taifa

Vicky Kimaro
MECHI ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba na Kiyovu ya Rwanda imeingiza kiasi cha Sh 208 milioni, kikiwa ni pungufu ya kiasi kilichopatikana kwenye mechi ya Yanga na Zamalek ya Misri, ambapo zilipatikana Sh 280 milioni.

Katika mchezo huo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 na hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa mabao 3-1, kufuatia sare ya bao 1-1 katika mechi ya kwanza mjini Kigali, Rwanda wiki mbili zilizopita. Kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Zamalek, timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1.

Simba itashuka dimbani kati ya Aprili 27, 28 na 29 kwenye Uwanja wa Taifa kucheza na Entente Setif ya Algeria katika raundi ya pili ya michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika CAF.

Katika taarifa iliyotolewa na wasimamizi wa mchezo huo, Prime Time Promosheni, mashabiki 34,506 waliingia uwanjani, wakati kwenye mechi ya Yanga, mashabiki 48,000 ndiyo walioingia.

Katika mchanganuo wa mapato baada ya kukata makato yote Simba imepata zaidi ya shilingi milioni 100.

VIP A zilichapishwa tiketi 740 na ziliuzwa tiketi 287, tiketi za bure 200 na tiketi 253 zilibaki. Kingilio cha Sh 30,000 zilipatikana Sh 8,610,000, wakati VIP B zilichapishwa tiketi 3,760 ziliuzwa 965, tiketi 92 zilikuwa tiketi za bure.

Kwa upande wa VIP C, kingilio kilikuwa sh 15,000 zilichapishwa tiketi 4,077 ziliuzwa 692 (50 tiketi za bure) zilizobaki 3,335 ambapo zilipatika Sh 10,380,000, viti vya Orange zilichapishwa tiketi 10,897 ziliuzwa tiketi 2,581 (26 tiketi za bure), zilibaki tiketi 8,290 kingilio kilikuwa ni Sh8,000 na zilipatikana Sh20,648,000. Viti vya Blue kingilio kilikuwa Sh5,000, zilichapishwa tiketi 36,640 ziliuzwa 29,981 na zilibaki tiketi 6,665, zilipatika Sh 149,905,000.chanzo mwanaspoti

Waarabu wampoteza Mganga wa Yanga




Mwenyekiti wa Yanga, Llyod Nchunga akibadilishana mawazo na katibu mkuu wa klabu hiyo, Celestine Mwesigwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Cairo
MICHAEL MOMBURI, CAIRO
INACHEKESHA lakini inavutia kusikia, kuona na hata kusoma. Yanga na Zamalek wikiendi iliyopita zilikuwa zikipimana nguvu ndani na nje ya uwanja jijini Cairo, Misri, katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Yanga ilikuwa na mganga wake ambaye alitua Cairo kimyakimya na muda wote alikuwa bize na mambo yake kama walivyokuwa wenzake wa Zamalek.

Waganga wa Zamalek inadaiwa walikuwapo uwanjani kuanzia Alhamisi usiku Yanga ilipokuwa ikipasha mazoezi.
Awali waganga hao pia walikuja karibu na hoteli ya Holiday Express ilipofikia Yanga lakini wakazuiwa.

Lakini cha kuchekesha zaidi mtaalamu huyo wa Yanga alifanya mambo yake kwenye Uwanja wa Jeshi wa Misri, siku moja kabla ya mechi na kuchafua hali ya hewa uwanjani huku kila mchezaji akijiuliza kunani?

Viongozi wa Yanga walionekana kuzuga na kuwa mbali na mtaalamu wao muda mwingi ili kupoteza ushahidi.

Lakini ujanja wote wa mganga huo ukakoma Jumamosi iliyopita ambayo ilikuwa ni siku ya mechi. Mambo yalianza wakati msafara wa timu ulipotaka kuondoka hotelini kuelekea uwanjani.

Mtaalamu huo aliwatia Yanga hofu kubwa baada ya kutojulikana aliko kwani alitafutwa kila kona ili aingie kwenye gari la mbele lililobeba viongozi na waandishi wa habari. Hakuonekana wala kwenye simu hakuwa akipatikana.

Hatua hiyo iliwafanya baadhi ya wazito wa Yanga kubaki hotelini kumtafuta zaidi. Baadaye ikaja kugundulika kuwa alikuwa amepitiwa na usingizi mzito chumbani kwake.

Ndipo walipolazimika kubisha hodi kwenye mlango wa chumba hicho kwa muda mrefu, hadi mtaalamu huyo alipoamka.

Baada ya kuamka, haraka haraka akapiga sala zake kisha wakaanza safari ya kuelekea Uwanja wa Chuo cha Jeshi la Misri, Yanga ilipokuwa ikicheza na Zamalek kwenye mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa.

Mmoja wa viongozi waliokuwa kwenye msafara huo wa kumsaka, alidai kuwa mtaalamu huo alipitiwa kwa vile alikuwa hajui mechi ni saa ngapi inachezwa ingawa mwingine alikuwa akikejeli kwamba utaalamu wake umegongana na ule wa Zamalek.

Lakini mganga huyo alipandishwa gari lenye kasi kubwa ambalo liliwahi kufika uwanjani na kuwakuta wachezaji kabla hawajaingia vyumbani, aliingia nao na wanajeshi wanaolinda uwanjani hapo walionekana kumhisi, lakini hawakumfanya lolote.

Alikuwa mjanja na aliwazidi maarifa kila alipobaini wanataka kumzuia.

Ingawa wachezaji walijua kinachoendelea na kuuchuna, lakini kocha Kosta Papic alionekana kutofurahishwa na uwepo wa mtaalamu huyo. Hata hivyo naye hakuweza kumfanya lolote kwani alikuwa hakai sehemu moja muda mwingi.

Siku ya Ijumaa wakati wa usiku baada ya Yanga kutoka mazoezini, mtu mmoja raia wa Misri aliyekuwa amevalia kiutata utata, alionekana akiranda nje ya hoteli ya Yanga ambako kiongozi wa msafara wa Yanga, waliyepewa na Zamalek, akawaambia askari wasimruhusu kuingia ndani kuwabughudhi Yanga.

�Mzuie huyo asije kuharibu mambo hapa,� alisikika kiongozi huyo wa msafara aliyeagizwa na Zamalek kuiongoza Yanga.

Ingawa hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyekuwa tayari kuzungumzia vituko hivyo, lakini baadhi ya wanachama wa Yanga waliokuwepo jijini hapa, walidai kuwa hata Zamalek walikuwa fiti kwenye mambo ya uganga ndiyo maana mganga wa Yanga akawa anapambana nao kwa nguvu huku wakidai wakati fulani walimzidi nguvu.

Hata wakati Yanga inaondoka kurudi Dar es Salaam, mtaalamu huyo wa Yanga alichelewa kwa vile alikuwa akipiga dua na habari za uhakika zinadai alikuwa anatupa mabaki ya utaalam wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cairo juzi Jumatatu usiku.

Soka la Afrika limekuwa likitawaliwa na imani za ushirikina kwa miaka mingi sasa lakini makocha hususani wa kigeni wamekuwa wakidai haisaidii kwani ni imani tu.

Kocha wa Ghana, Goran Stevanovic, amekiri hivi karibuni kuwa wachezaji wake wanalogana na ndiyo maana timu hiyo iliboronga kwenye fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.                               chanzo na mwanaspoti