Dec 14, 2011

SIKU BONDE FC ILIPOINGIA NUSU FAINALI TA TEWA CUP

 Kikosi cha Bonde Fc kikiwa katika ukaguzi kabla ya mechi ya nusu fainali  dhidi ya Makumbusho Talent Bonde fc iliibuka na ushindi wa 6-5 magoli yaliyopatikana kwa njia ya kupigiana mikwaju ya penati baada ya kutoka nguvu sawa katika muda wa kwaida chini ni kikosi kamili cha Bonde Fc na makocha wao .kulia ni kocha mkuu Issa Joseph na kushoto ni Rashid Banda kocha msaidizi.  

Hiki ni kikosi cha Makumbusho Tarent ambacho kilifungwa na Bonde fc katika mechi ya nusu fainali

No comments: