Sep 7, 2011

baada ya kuchukua ubingwa wa eid el fitri sasa timu inaendelea jifua


Timu ya bonde fc inaendelea na mazoezi yake kama kawaida katika uwanja wake wa nyumbani ili kujiwinda na michuanoi ya ligi ya tanzania betting inayoendelea katika viwanja vya garden kinondoni

No comments: