Oct 20, 2011

Timu ya Bonde fc kujipinga nguvu na kawe mkwamani

Timu ya Bonde Fc inatarajia jumapili hii kujipima nguvu zidi ya kawe mkwamani mchezo utakao chezwa katika uwanja wa Luck Rangers katika shule ya msingi Mwananyamala hivyo inawakaribisha wadau wote wa soka kufika bila kukosa akiongea na chumba cha habari Bonde fc kepteini wa timu hii ya under 14 aliwahakikishia washabi waje waone soka safi kama walilionyesha siku ya jumapili dhidi ya lion ya magomeni kwani waliipiga goli 1-0 

hata hivyo kocha wa timu hiyo bwana Issa Joseph (ndonga) alisema mechi hiyo ni ya kujipima nguvu kwa ajiri na vilevile wanategemea jumapili kupata wageni kutoka Bagamoyo ambao watakuja kwa ajiri ya kucheza nao mechi ya kirafiki 

Mechi zote hizo ni maandalizi ya mechi ya ligi ya TEWA CUP inayoendelea katika uwanja wa Magomeni barafu kwani Bonde fc inataka kuendeleza wimbi lake la ushindi dhidi ya wapinzani wao

No comments: