Dec 13, 2011

BONDE FC YAJITOA MASHINDANO YA DAYOSA

 
 Siku Mwinyimaji Tambaza alipoitembelea Bonde fc mazoezini hakuna alietegemea kama iko siku atatugeuka
 
 
 
 
Timu ya Bonde Fc inawatangazia mashabiki wake kuwa imeamua kujitoa katika michuano ya DAYOSA kutokana na ukiritimba na ufisadi unaofanywa na katibu wa chama hicho ndugu Mwinyimaji Tambaza kwa kitendo chake cha kuzifungia timu za Shein Rangers na Bonde fc zisishiriki michuano ya aina yoyote inayoandaliwa na chama hicho na hata kutotakiwa kucheza mechi za kirafiki na timu yeyote unayoshiriki michuano inayoandaliwa na chama hicho sasa tunajiuliza hivi huyu jamaa kazi yake kuendeleza soka au kuua vipaji vya vijana.kwani alikwisha wahi kumshawishi ndugu Ibrahimu Tewa kuifuta Shein katika michuano ya TEWA CUP baada ya shein kugoma kushiriki michuano ya DAYOSA inayoendelea kutokana na ukilitimba wa kiongozi huyu

No comments: