Siku Mwinyimaji Tambaza alipoitembelea Bonde fc mazoezini hakuna alietegemea kama iko siku atatugeuka
 
 
 
 
Timu
 ya Bonde Fc inawatangazia mashabiki wake kuwa imeamua kujitoa katika 
michuano ya DAYOSA kutokana na ukiritimba na ufisadi unaofanywa na 
katibu wa chama hicho ndugu Mwinyimaji Tambaza kwa kitendo chake cha 
kuzifungia timu za Shein Rangers na Bonde fc zisishiriki michuano ya 
aina yoyote inayoandaliwa na chama hicho na hata kutotakiwa kucheza 
mechi za kirafiki na timu yeyote unayoshiriki michuano inayoandaliwa na 
chama hicho sasa tunajiuliza hivi huyu jamaa kazi yake kuendeleza soka 
au kuua vipaji vya vijana.kwani alikwisha wahi kumshawishi ndugu 
Ibrahimu Tewa kuifuta Shein katika michuano ya TEWA CUP baada ya shein 
kugoma kushiriki michuano ya DAYOSA inayoendelea kutokana na ukilitimba 
wa kiongozi huyu
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment